Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » YANGA MABINGWA KOMBE LA ASFC
    Sports

    YANGA MABINGWA KOMBE LA ASFC

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuJuly 2, 2022No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    YANGA MABINGWA KOMBE LA ASFC.

    Klabu ya Yanga imefanikiwa kuchukua ubingwa wa kombe la shirikisho la Azam(ASFC) baada ya kushinda kwa mikwaju ya penati mitatu kwa mmoja dhidi ya Coastal Union

    Fainali hiyo iliyochezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid huko mkoani Arusha nchini Tanzania,iliamuliwa kwa mikwaju ya penati baada ya timu zote mbili kumaliza mchezo kwa kutoshana nguvu ya mabao matatu kwa matatu

    Coastal union ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata bao la uongozi lililofungwa na mfungaji bora wa michuano hiyo Abdul Suleimani Sopu aliyefunga mabao matatu (hat trick) kwenye fainali ya leo

    Mabao ya kusawazisha ya Yanga yalifungwa na kiungo bamia Feisal Salum,Heritier Makambo pamoja na wonder kid Dennis Nkane

    Baada ya kunyakuwa ubingwa huo,kwa sasa Yanga imeweka rekodi ya kushinda mataji matatu (treble)katika msimu huu,ambapo mapema mwaka huu waliwafunga mahasimu wao Simba na kunyakua taji la Ngao ya hisani kabla ya kubeba ubingwa wa ligi kuu sambamba na taji la leo la kombe la shirikisho la Azam.

    #Yanga
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleWilliam Ruto again promises to make phone calls, internet free if elected president
    Next Article Today in football!! Andres Escobar was shot to death in his country Colombia after his own goal destroyed their 1994 world cup hopes
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    Michael Olunga from Lucky Summer to Football Stardom and Wealth

    September 20, 2025

    Dani Sserunkuma the Goal Machine Who Shaped East African Football

    September 19, 2025

    Arsenal Fans Left in Awe After Zubimendi’s Rocket Strike and Sensational Team Display

    September 13, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • Simba yatimua benchi la ufundi.
    • I’m being paid 6 times more,’ Obinna on his Kiss FM salary
    • PREMIER LEAGUE Watch: Embarrassing moment Harry Maguire appeared to ‘Dummy’ the ball in build up to Man City Goal (Video)
    • Kocha wa klabu ya Simba SC Hitimana amekiri kuwa klabu ya Simba hivi karibuni haichezi mpira wa kuvutia lakini kikubwa ni kupata ushindi.
    • ‘Maisha London’ Kenyans shocked by the price tag of “Mfenesi” in UK markets

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.