Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » Masaibu ya Chelsea ya Tuchel
    Sports

    Masaibu ya Chelsea ya Tuchel

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuDecember 30, 2021Updated:March 5, 2022No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Jedwali ikionesha msimamo wa Ligi kuu baada ya mechi 20 kuchezwa
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ligi kuu ya soka nchini Uingereza imefikia nusu ya michezo ya msimu huu. Hadi kufikia Sasa vijana wa Pep Guardiola wanaongoza Ligi hiyo kwa pointi 50 wakifuatiwa na Chelsea wenye alama 42.

    Kwa mara nyingi timu inayoongoza Ligi Hadi kipindi cha Christmas na mwaka mpya huibuka kuwa bingwa wa Ligi ifikapo mwezi Mei.

    Huku vilabu vikiandamwa na majeruhi pamoja na janga la uviko 19 ikiendelea kusababisha baadhi ya michezo kuahirishwa Klabu ya Manchester city inaendelea kushinda na kuongeza uwiano dhidi ya wapinzani wake.

    Jedwali ikionesha msimamo wa Ligi kuu baada ya mechi 20 kuchezwa

    Kwa top 6 ni Manchester city pekee wana muendelezo mzuri wa matokeo wakishinda michezo yao kumi iliyopita.

    Wikiendi hii watakuwa wageni wa Washika mtutu wa London Arsenal. Arsenal na wao wapo kwenye kiwango Bora kabisa na Sasa wanashikilia nafasi ya Nne na wakipata matokeo dhidi ya Manchester city wanaweza isogolea nafasi ya tatu na ya pili.

    Mchezo mwingne ni siku ya jumapili Chelsea dhidi ya Liverpool. Mchezo huu unaweza kutoa taswira juu ya kinyanganyiro cha bingwa wa Ligi kuu. Droo itakua na ahueni kwa Manchester city.

    Huku Arsenal wakiwa wa Moto, Conte na Spurs yake, United wakijitafuta, Nani kuingia Nne Bora? Na je Liverpool na Chelsea wataweza kumfunga paka kengele?

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleEldoret tycoon Buzeki treats 3 Uasin Gishu couples to chopper ride:“tushereke”
    Next Article DCI Detectives arrest Mary Njoki for allegedly defrauding a Kenyan based in the US of Ksh. 30 Million in fake drug supply
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    Michael Olunga from Lucky Summer to Football Stardom and Wealth

    September 20, 2025

    Dani Sserunkuma the Goal Machine Who Shaped East African Football

    September 19, 2025

    Arsenal Fans Left in Awe After Zubimendi’s Rocket Strike and Sensational Team Display

    September 13, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • “Anawadanganya Na Simu Anawapatia Mimba” Fernandes Barasa’s Wife Exposes An Assistant Chief For Impregnating Teenagers
    • Cristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    • Lanes: Bahati And His Wife Diana Marua Throw Their Daughter A Multimillion Birthday Party
    • Tamko la klabu ya Young Africans SC kuhusu adhabu waliyopewa na (CAF) Klabu ya Yanga SC kupitia kwa
    • People Think I Killed Jeff But I Know I Can’t Kill – DJ Fatxo

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.