Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » MTOTO ALIYETOWEKA APATIKANA BUNGOMA
    Trending

    MTOTO ALIYETOWEKA APATIKANA BUNGOMA

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuOctober 30, 2021Updated:March 8, 2022No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Picha/Hisani ya mtandao
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
    Picha/Hisani ya mtandao

    MTOTO ALIYETOWEKA APATIKANA BUNGOMA

    Familia moja kutoka kijiji cha Kamasielo kaunti ya Bungoma ilifurahia baada ya kuunganishwa na mtoto wao aliyeibiwa katika hospitali ya Kimilili baada ya kuzaliwa miezi mbili iliyopita. Bungoma: Mtoto aliyetoweka baada ya mamake kumzaa kupitia njia ya upasuaji apatikana

    Mtoto huyo alipatikana na wauguzi waliokuwa wakiendesha zoezi la kupeana chanjo katika wadi ya Maeni siku ya Ijumaa, Oktoba 29. Afisa mkuu wa afya katika hospitali ya kata ndogo ya Kimilili David Shivachi alisema wauguzi walitilia shaka baada ya mshukiwa kukosa kuwasilisha cheti cha kuzaliwa na stakabathi muhimu za mtoto huyo

    Baada ya kufanya vipimo vya DNA, ilibainika kwamba mtoto huyo alikuwa wa Ruth ambaye alitoweka Septemba 15 pindi baada ya mamake kumzaa kupitia njia ya upasuaji.

     

    Baada ya kuondoka thieta niliuliza nilitewe mtoto nimuone alafu nikaambiwa kwamba ametoweka, nilishtuka sana kama mama, lakini sai nimefurahi na namshukuru Mungu kwa kumpata, kwa hivyo nitampa jina King David,” Mama huyo aliambia wanahabari. Nakhumisha alianza kuhisi uchungu wa uzazi Septemba 15, alipofika katika hospitali ya Kimilili, madaktari walimshauri ajifungue kupitia njia ya upasuaji kwa sababu alikuwa na matatizo ambayo hangeweza kujifungua kawaida.

    ulikuja hapa asubuhi na mke wangu akapelekwa thieta mwendo wa saa tano asubuhi, nilisubiri nje madaktari wakihudumia mke wangu, madaktari walishinda wakiniambia niwe na subira kwa sababu nilikuwa nimeanza kushikwa na wasiwasi. Dakika chache baadaye mmoja wao aliniambie kwamba mtoto ameibiwa,” Mume wa Nakhumicha alielezea. Familia hiyo iliwashukuru wauguzi hao pamoja na hospitali ya Kimilili kwa kuwasaidia kumpata mtoto wao

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleWho will carry the day, Manchester United Vs Tottenham
    Next Article Carabao Cup Quarter Final Draw is out Brendan Rodgers returns to Anfield
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    January 9, 2026

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    November 5, 2025

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    November 5, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • “Anawadanganya Na Simu Anawapatia Mimba” Fernandes Barasa’s Wife Exposes An Assistant Chief For Impregnating Teenagers
    • Cristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    • Lanes: Bahati And His Wife Diana Marua Throw Their Daughter A Multimillion Birthday Party
    • Tamko la klabu ya Young Africans SC kuhusu adhabu waliyopewa na (CAF) Klabu ya Yanga SC kupitia kwa
    • People Think I Killed Jeff But I Know I Can’t Kill – DJ Fatxo

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.