Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » Aliou Dieng,Ali Maaloul na Luis Miquissone wazua gumzo ndani ya Klabu ya Al Ahly, Mashabiki wajibu mapigo
    Sports

    Aliou Dieng,Ali Maaloul na Luis Miquissone wazua gumzo ndani ya Klabu ya Al Ahly, Mashabiki wajibu mapigo

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuMay 15, 2022No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nyota watatu wa Klabu ya Al Ahly ya nchini Misri Ali Maaloul,Aliou Dieng na Luis Miquissone wameleta taharuki miongoni mwa mashabiki wa Klabu hiyo baada ya taarifa kutoka kuwa wameitwa na timu zao za Taifa.

    Kiungo Aliou Dieng ameitwa kwenye Kikosi cha timu ya Taifa ya Mali kwajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Dr Congo unaotarajiwa kuchewa June 06 mwaka huu wakati beki wa pembeni wa Al Ahly na timu ya Taifa ya Tunisia Ali Maaloul ameitwa kujiandaa na mchezo dhidi ya Equatorial Guinea utakaopigwa June 02 mwaka huu

    Luis Miquissone yeye ameitwa na timu ya Taifa ya Msumbiji kwajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Rwanda utakaopigwa June 02 mwaka huu pia.

    Taarifa hiyo imepokelewa tofauti na mashabiki wa Klabu ya Al Ahly na wameutaka uongozi kukataa kuwaruhusu nyota hao kuondoka klabuni hapo wakati huu.

    Al Ahly wanajiandaa na mchezo wa fainali ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Wydad Athletic Club utakaopigwa May 30 huku hapa katikati ndani ya mwezi huu wakiwa na mechi tatu za ligi kuu ya Misri.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleEng.Hersi afunguka kila kitu kuhusu Morrison, akiri kuzungumza naye
    Next Article Possibility of Uhuru Kenyatta extending his stay in office after 9 August general election
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    Michael Olunga from Lucky Summer to Football Stardom and Wealth

    September 20, 2025

    Dani Sserunkuma the Goal Machine Who Shaped East African Football

    September 19, 2025

    Arsenal Fans Left in Awe After Zubimendi’s Rocket Strike and Sensational Team Display

    September 13, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • MO DEWJI AJIUZULU KAMA MWENYEKITI WA SIMBA SC
    • Jackie Mutabai Reunites With Her Baby Daddy Lavishly Celebrate Their Daughter Birthday Party Together
    • Cleophas Malala’s Multimillion Lavish Rural Mansion Gets a Stunning Upgrade (PHOTOS)
    • Kenya On The Spot Over Global Organs Trafficking Ring
    • “My Family Failed to Intervene” Akothee Narrates How Rivalry With Her Sister Started

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.