Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » KESI YA MZOZO WA MPAKA BAHARINI YAKATALIWA NA ICJ
    Business Entertainment Music opinions Politics Sports Technology Trending World News

    KESI YA MZOZO WA MPAKA BAHARINI YAKATALIWA NA ICJ

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuOctober 13, 2021Updated:February 24, 2022No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mzozo mkali umeshuhudiwa baina ya Kenya na Somalia Kuhusu pembetatu ya Kilomita za mraba 38,000 Katika Bahari ya Hindi ambayo inadhaniwa kuwa na utajiri wa mafuta na gesi.Mzozo huo wa kesi mpakani inasemekana kuwa ndio umechangia mzozo wa kidiplomasia Kati ya nchi hizo Majirani.

    Kwa muda wa Miongo minne iliyopita,nchi ya Kenya imedai kuwa mstari unaoelekea mashariki mwa mahali ambapo nchi hizo mbili zinakutana pwani zinawakilisha mpaka wa baharini huku Somalia nao wakipinga usemi huo kwamba mpaka wa baharini unapaswa kufuata mwelekeo sawa na mpaka wa ardhi.

    Baada ya Jopo la Majaji wanne waliokaa Hague kufuatilia kesi hiyo,ilisemekana kwamba Kenya haijathibitisha kuwa Somalia hapo awali ilikubaliana na mpaka wake uliodaiwa, badala yake walichora laini mpya inayogawanya eneo la mgogoro Mara mbili.

    Mwaka wa 2009 nchi hizo mbili za Afrika Mashariki zilikubaliana Katika hati ya makubaliano,ikiungwa mkono na UN,kumaliza mzozo wa mipaka kupitia mazungumzo.Lakini baada ya miaka mitano baadaye Somalia ilidai kuwa mazungumzo yalishindwa na badala yake ikaenda ICJ.Inasemekana kwamba Somalia ilikasirishwa na Kenya kuuza leseni za uchunguzi wa rasilimali za mafuta na gesi Katika eneo lenye mzozo kwa mataifa mawili mnamo 2012.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleCristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    Next Article Gor Mahia in trouble with FIFA.
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    January 9, 2026

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    November 5, 2025

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    November 5, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • “Anawadanganya Na Simu Anawapatia Mimba” Fernandes Barasa’s Wife Exposes An Assistant Chief For Impregnating Teenagers
    • Cristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    • Lanes: Bahati And His Wife Diana Marua Throw Their Daughter A Multimillion Birthday Party
    • Tamko la klabu ya Young Africans SC kuhusu adhabu waliyopewa na (CAF) Klabu ya Yanga SC kupitia kwa
    • People Think I Killed Jeff But I Know I Can’t Kill – DJ Fatxo

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.