Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » Djuma Shabani na Yannick Bangala kusepa Yanga? Wakala wao afunguka
    Sports

    Djuma Shabani na Yannick Bangala kusepa Yanga? Wakala wao afunguka

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuMay 22, 2022No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Hatima ya nyota wanaokipiga katika klabu ya Yanga Yannick Bangala na Djuma Shabani kuendelea kusalia Yanga itajulikana mwisho wa msimu huu wakala wao amethibitisha hilo.

    Nyota hao kutoka nchini DR Congo walijiunga Yanga mwaka jana na wameisaidia Yanga kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya NBC msimu huu mpaka sasa huku timu hiyo ikiwa na uwezekano mkubwa wa kutwaa ubingwa.

    Faustino Mukandila,Wakala wa wachezaji hao amesema hatma yao itajulikana mwisho wa msimu huu kama wataendelea kubaki Yanga au wataondoka.

    “Ni kweli nimepokea ofa kutoka timu nyingi zikihitaji huduma yao lakini niseme kuwa kila kitu kitawekwa wazi baada ya msimu huu kuisha” Alisema Faustino

    Hata hivyo alipoulizwa kuhusu uwezekano wa kuondoka Yanga Mukandila alisema mchezaji yoyote duniani anahitaji maslahi mazuri kila siku na uwezekano wa kucheza hivyo lolote linaweza kutokea

    “Unajua mpira ni biashara kama biashara nyingine, mchezaji hana timu,yeye timu yake ni maslahi mazuri zaidi na uwezekano wa kucheza hayo mengine ni ziada hivyo ukifika muda wa kuondoka wataondoka Ila kwa sasa ni wachezaji wa Yanga na wana mkataba na Yanga tusubiri baada ya msimu tutaona nini kitafuata na kuhusu kuondoka kwenye mpira lolote linaweza kutokea” Alisema

    Taarifa tulizonazo ni kwamba nyota hao huenda wakaondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu na kutimkia uarabuni ambako wanatajwa kutakiwa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleJunet Responds to DP Ruto Over Comment On Karua
    Next Article Ahmed Ally: Simba tunapitia msoto lakini hatutamaliza kinyonge
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    Michael Olunga from Lucky Summer to Football Stardom and Wealth

    September 20, 2025

    Dani Sserunkuma the Goal Machine Who Shaped East African Football

    September 19, 2025

    Arsenal Fans Left in Awe After Zubimendi’s Rocket Strike and Sensational Team Display

    September 13, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • “Anawadanganya Na Simu Anawapatia Mimba” Fernandes Barasa’s Wife Exposes An Assistant Chief For Impregnating Teenagers
    • Cristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    • Lanes: Bahati And His Wife Diana Marua Throw Their Daughter A Multimillion Birthday Party
    • Tamko la klabu ya Young Africans SC kuhusu adhabu waliyopewa na (CAF) Klabu ya Yanga SC kupitia kwa
    • People Think I Killed Jeff But I Know I Can’t Kill – DJ Fatxo

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.