Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » Nigerian actress Rita Dominic got married at 46.
    Entertainment

    Nigerian actress Rita Dominic got married at 46.

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuApril 24, 2022Updated:April 24, 2022No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Rita Dominic aolewa kwa mara ya Kwanza akiwa na miaka 46. Mwigizaji huyo maarufu wa Nigeria amefunga ndoa ya kiasili na muonekano wake ni huo.

    Ameolewa na Fidelis(56) ambaye amewekeza maeneo kadhaa ikiwemo katika tasnia ya habari. Wamekuwa pamoja kwa miaka kadhaa kabla ya kuoana Sasa

    Rita aliwahi kusema angependa kuolewa na anaheshimu ndoa ila hana haraka hadi muda wake ufike anataka aingie kwenye ndoa moja kwa moja sio kuharakisha na kuishia kuolewaolewa

    Amesema ndoa ni muhimu ila Kuna wakati inakera kwa jinsi watu walivyoweka mkazo kwenye ndoa na hivyo kusababisha watu kupata presha kubwa na kuingia kwenye ndoa kufurahisha watu na zinaishia kuvunjika

    Rita Dominic licha ya umri alionao bado hajazaa mtoto wake mwenyewe isipokuwa aliwahi kusema analea watoto ambao si wake na analea watu wengine kwahiyo haoni tatizo ila angependa Mungu ambariki mtoto wake siku moja

    Inadaiwa Rita ana tatizo la Endometriosis ambalo hupelekea kupata ugumba kirahisi kwa wanawake mbalimbali lakini hajawahi kuligusia hilo kwa ndani ingawa amekuwa akielemisha jamii kuhusu tatizo la Endometriosis na hata mwanamitindo wa kimataifa toka Tanzania, Millen Magese aliwahi kusema alipata hamasa toka kwa Rita Dominic kujitokeza ili kuzungumzia tatizo hilo jamii ipate elimu

    Kwenye comments section kuona picha zaidi, ikiwemo mume wake.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticleAN OPEN LETTER TO RAILA ODINGA AND AZIMIO BRIGADE
    Next Article Kibaki, was among the first lot of Kenyans to attend the then prestigious Makerere University in Uganda, where he attained a B.A in 1955.
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    October 6, 2025

    Celebrity Reveals What Her Ex Did to Her After Catching Him with Women in a Room

    October 1, 2025

    Kate Actress Leaves Fans in Shock After she Befriended Ex-Hubby Phil Karanja’s New Girlfriend

    September 26, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • MO DEWJI AJIUZULU KAMA MWENYEKITI WA SIMBA SC
    • Jackie Mutabai Reunites With Her Baby Daddy Lavishly Celebrate Their Daughter Birthday Party Together
    • Cleophas Malala’s Multimillion Lavish Rural Mansion Gets a Stunning Upgrade (PHOTOS)
    • Kenya On The Spot Over Global Organs Trafficking Ring
    • “My Family Failed to Intervene” Akothee Narrates How Rivalry With Her Sister Started

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.