Close Menu
Kenyanpulse
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kenyanpulse
    • Home
    • Trending
    • Politics
    • Entertainment
    • Sports
    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • About us
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Trending Topics:
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Kenyanpulse
    • Ruto
    • Raila Odinga
    • William Ruto
    • Ugandan celebrity news
    • WorldcupQualifier
    • Liverpool
    • Kenya kwanza
    Home » NDOTO YA HARAMBEE STARS YAKATIZWA NA MALI
    Entertainment Trending

    NDOTO YA HARAMBEE STARS YAKATIZWA NA MALI

    Kevin OkumuBy Kevin OkumuOctober 11, 2021Updated:February 24, 2022No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest Copy Link Telegram LinkedIn Tumblr Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Timu ya Taifa ya Mali almaarufu Kama The Eagles ilikatiza Ndoto ya Timu ya Kenya Harambee Stars ya kushiriki kwenye Dimba la Kombe la Dunia Mwaka 2022 kule Qatar.Ndoto hiyo ilizimwa hapo Jana Jumapili,10 Oktoba baada ya Mali kuwacharaza Vijana wa Harambee Stars uwanjani Nyayo jijini Nairobi.

    Mechi hiyo ilikuwa ya mkondo wa Pili siku chache baada ya Mkondo wa kwanza kuchezwa kule Morocco ambapo Timu ya Mali iliweza Tena kuibuka mshindi wa hatua hiyo ya kwanza baada ya kuilaza Harambee Stars Mabao Tano kwa Bila.

    Kwenye mkondo wa Pili jijini Nairobi,Kenya walijaribu kuonyesha mchezo mzuri wakiongozwa na kocha wao Engin Firat lakini mwishowe waliishia kupoteza mechi hiyo.Mshambulizi wa Timu ya Mali Ibrahima Kone ndiyo alifunga bao la pekee mchezoni dakika ya 55.Ibrahima pia aliweza kucheka na wavu Mara tatu kule Agadir,Morocco kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

    Kwa Sasa Mali ndio wanaongoza kundi E kwa alama Kumi huku Uganda wakifuatia na alama name baada ya kupata ushindi wa Bao moja kwa Nunge dhidi ya Vijana wa Rwanda.Kenya ipo Katika nafasi ya tatu na alama mbili huku Rwanda wakifunga kundi na alama mbili pekee.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email Copy Link
    Previous ArticlePeris Tobiko was the first elected female Masaai member of parliament in 2013
    Next Article Murang’a leaders boycott William Ruto’s session at Karen.
    Kevin Okumu
    • Website

    Related Posts

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    January 9, 2026

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    November 5, 2025

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    November 5, 2025
    LATEST POSTS

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal

    Celebrated Singer Stivo Simple Boy Marries His Love Brenda in a Beautiful Ceremony

    Former DP Gachagua Exposes CS Who Was Photographed With Drug Trafficker

    Uasin Gishu Man Who Wedded At His Old Age Dies Peacefully, Wife Pays Him Emotional Tribute

    POPULAR
    • “Anawadanganya Na Simu Anawapatia Mimba” Fernandes Barasa’s Wife Exposes An Assistant Chief For Impregnating Teenagers
    • Cristiano Ronaldo aonyesha umwamba wake.
    • Lanes: Bahati And His Wife Diana Marua Throw Their Daughter A Multimillion Birthday Party
    • Tamko la klabu ya Young Africans SC kuhusu adhabu waliyopewa na (CAF) Klabu ya Yanga SC kupitia kwa
    • People Think I Killed Jeff But I Know I Can’t Kill – DJ Fatxo

    HIGHLIGHTS
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race

    RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation

    RIP: Famous Former Machachari Actress Dies

    Recent Posts
    • KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score
    • Tension As Gladys Wanga Warned Against Helicopter Travel Amid Assassination Threats Over 2027 DP Race
    • RIP: Kenyans Mourn Charity Chebet Killed In Landslide Hours After Graduation
    • RIP: Famous Former Machachari Actress Dies
    • How a Nairobi Businessman Lost Sh6.3 Million to Kytabu’s Tonee Ndungu in a Botched Startup Deal
    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    Trending

    KCSE Results 2025: Nairobi Father Overjoyed as Daughter Passes Exam, Reveals Her Score

    romaxdesignsJanuary 9, 2026

    Education Cabinet Secretary Julius Ogamba released the exams for 993,226 candidates on Friday, January 9,…

    • Disclaimer
    • Privacy Policy
    © 2026 Kenyanpulse.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.